Warumi 8:38 Kwa maana nimekwisha kujua hakika ya kwamba, wala mauti, wala uzima, wala malaika, wala wenye mamlaka, wala yaliyopo, wala yatakayokuwapo, wala wenye uwezo, 39 wala yaliyo juu, wala yaliyo chini, wala kiumbe kinginecho chote hakitaweza kututenga na upendo wa Mungu ulio katika Kristo Yesu Bwana wetu.
Malaika ,Mauti wala uzima na wenye mamlaka walioko Duniani kote ama kiumbe chochote hakiwezi kututenganisha mwanadamu na Upendo wa MUNGU ..
MUNGU alitupenda zaidi na kutufanya tuwe wamiliki na watawala WA Vyote vilivyopo katika nchi na Mbingu pia ..
Tudumu katika Upendo Wa Kristo siku zote za Maisha yetu. .
No comments:
Post a Comment