Sunday, March 26, 2017

SHALOM

Bwana Yesu asifiwe milele!
Leo nataka nianze kukufundisha juu ya: “Mambo unayohitaji kuyajua kuhusu ndoto unazoota ili iwe vyepesi kufanikiwa kimaisha”.
Jambo la 1: “Usiipuuzie ndoto uliyoota hata ikiwa hukijui chanzo cha ndoto hiyo!”
Mfano wa Kwanza: Unaposoma kitabu cha Mwanzo 41:1 – 7, unaona ndoto mbili alizoota Farao, kwa usiku mmoja, na kwa kufuatana. Ndoto zile mbili zilikuwa na tafsiri moja iliyofanana. Na zilikuwa na ujumbe mmoja uliofanana, uliokuwa unamjulisha ujio wa njaa nchini Misri miaka 7 baadaye – tokea wakati ule alipoota zile ndoto.
Farao alipoamka alijisemea moyoni mwake ya kuwa: “Kumbe ni ndoto tu” (Mwanzo 41:7). Hii ikiwa na maana ya kwamba wazo la kwanza lililomjia moyoni mwake, baada ya kuamka usiku ule, ni kuzipuuzia zile ndoto – na wala asiwe na mpango wa kuzifuatilia.
Lakini biblia inasema, “asubuhi roho yake ikafadhaika” (Mwanzo 41:8); ikiwa ni kiashiria chenye ujumbe toka kwa Roho Mtakatifu, kwamba asizipuuzie ndoto zile! Asante Yesu hakuzipuuzia, na akatafuta msaada, ili ajue tafsiri yake. Yusufu alimtafsiria zile ndoto na kumpa maelekezo yaliyoambatana na ndoto zile. Na Farao akatekeleza maelekezo aliyopewa. Na hata njaa ilipotokea miaka 7 baadaye haikuwasumbua – kwa kuwa ujumbe wa ndoto uliwapa kujiandaa.
Je, umewahi kujiuliza ingekuwaje kama Farao angezipuuzia zile ndoto? Ni dhahiri ya kwamba angezipuuzia – angeona tu baada ya miaka saba njaa kali yenye kudumu miaka saba – huku hajajiandaa nayo!Na kwa vile njaa ile ilikuwa ni ya “dunia yote” (Mwanzo 41:56,57), ina maana dunia yote ingekumbwa na njaa, kwa sababu tu ya Farao kuzipuuzia ndoto – ikiwa angeamua kuzipuuzia zile ndoto!
Mfano wa pili: Danieli 4:1 – 34 tunaelezwa madhara yaliyompata mfalme Nebukadreza, kwa sababu aliipuuzia ndoto aliyoota!
Ndoto ile – ilikuwa inampa onyo mfalme Nebukadreza, juu ya mwenendo wake aliokuwa nao wakati ule. Na ndoto ile ilimpa pia kujua adhabu atakayopewa asipobadili mwenendo wake. Lakini pia kwenye ndoto ile aliyoota, alipewa maelekezo ya mambo ya kufanya, ili aliyoyaona kwenye ndoto yasimpate – lakini alipuuzia! Soma Danieli 4:27. Tena – alipewa miezi 12 ya kujirekebisha – lakini alipuuzia – na wala hakuitumia nafasi hiyo – na matokeo yake yote aliyoyaona kwenye ndoto, yalimtokea katika maisha yake!Kwa kuipuuzia ile ndoto, Mfalme Nebukadreza aliingia kwenye adhabu ya maisha yake, na afya yake kuvurugika kwa nyakati saba au miaka 7! Na pia “nafasi” yake ilikosa uongozi kwa miaka 7!
Mfano wa tatu: Yusufu – yule aliyekuwa mume wa Mariamu, na mlezi wa Yesu wakati akiwa mtoto, aliota ndoto nne, ambazo angezipuuzia – historia ya ukristo isingekuwa ilivyo sasa!
Ndoto ya kwanza iliyoandikwa kwenye Mathayo 1:18 – 24 tunaona akihimizwa na “malaika wa Bwana”, kuwa asihofu kumchukua Mariamu akiwa na mimba. Na akajulishwa juu ya jina na kazi ya mtoto atakayezaliwa. Biblia inasema: “Naye Yusufu alipoamka katika usingizi, alifanya kama malaika wa Bwana alivyomwagiza;akamchukua mkewe” (Mathayo 1:24).
Ndoto ya pili iliyoandikwa kwenye Mathayo 2:13 – 18, Yusufu alionywa na Malaika wa Bwana, juu ya mipango ya mfalme Herode ya kutaka kumwua Yesu. Na akaelekezwa amchukue Yesu na mama yake awapeleke Misri – na akae kule Misri hadi malaika wa Bwana atakapompa maelekezo mengine!
Biblia inasema juu ya Yusufu baada ya kuota ndoto hiyo ya pili ya kuwa: “Akaondoka akamchukua mtoto na mama yake usiku, akaenda zake Misri” (Mathayo 2:14). Hata Herode alipotuma watu Bethlehemu kumtafuta Yesu na kumuua – wakakuta hayupo! Na kwa hasira aliua watoto wote wa kiume wa eneo lile; “tangu wenye miaka miwili na waliopungua” (Mathayo 2:16).
Ndoto ya tatu aliyoota Yusufu, iliyoandikwa katika Mathayo 2:19 – 21, ndiyo iliyomfanya aondoke Misri na familia yake, na kuanza kurudi nchini Israeli.
Ndoto ya nne aliyoota Yusufu, iliyoandikwa katika Mathayo 2:22 – 23, ndiyo iliyomfanya amchukue Yesu na mama yake, na kuwapeleka kuishi nao “katika mji ulioitwa Nazareti; ili litimie neno lililonenwa na manabii, Ataitwa Mnazarayo” (Mathayo 2:23).
Huo ulikuwa ni utii wa hali ya juu sana kwa Yusufu! Hasa tukichukulia maanani ya kuwa Yesu hakuwa mtoto wake wa kumzaa; tena – maelezo ya kumtunza Yesu na hata kumwepusha na hatari zilizomkabili, alikuwa anapewa kwa njia ya ndoto – ambazo watu wengi wangeweza kuzipuuzia.
Lakini Yusufu hakuzipuuzia zile ndoto, na utii ule uliweka mwanzo mzuri wa Yesu, katika kumwandaa kwenye huduma, na kazi ya Mungu, aliyotumwa kuifanya duniani!
Je, wewe una kiwango gani cha utii kwa maelekezo ambayo Mungu anakuletea kwenye ndoto? Au kila ndoto unaipuuzia kama mfalme Nebukadreza? Je, unaweza ukapewa taarifa na Mungu kwa njia ya ndoto ukaielewa na kuitii?
Mtu mmoja aliyenisikiliza kwa njia ya redio tarehe 6 Nov, 2015, nikifundisha juu ya ndoto kwa kutumia biblia, alinitumia ujumbe ufuatao kwa njia ya simu:
“Bwana Yesu asifiwe – mwalimu! Mafundisho uliyotupa leo yamegusa maisha yangu, kwa sababu kuna ndoto niliota tarehe 24.12.2013 – sitaisahau siku hii! Niliota niko kijijini kwetu huko….napambana na nyoka. Huyo nyoka alikuwa amesimama usawa wangu – na akawa ananitishia kuning’ata. Na mimi nilikuwa namkemea kwa jina la Yesu. Lakini ghafla nikaona amenigonga, na kuniuma kwenye kidole cha pili cha mguu.
Ghafla nikashtuka toka usingizini. Nikakuta kidole kile alichonigonga na kuniuma yule nyoka katika ndoto, kinatoka damu na kinauma sana! Kulipokucha nikaenda kanisani kwetu, ambako siku hiyo kulikuwa na maombi ya kufunga. Mchungaji akawa anaombea wagonjwa. Akaniuliza unaumwa nini? Nikamjibu hivi: nimeota ndoto usiku …na kabla sijamaliza kujieleza nikaanguka.
Kuja kushtuka na kuamka, nikaambiwa nilikuwa na pepo mauti, ambaye waliweza kumkemea, na akaondoka toka mwilini mwangu.
Lakini tangu hapo maisha yangu yakayumba sana. Ijapokuwa nimeokoka…lakini sisongi mbele! Maisha yamekuwa magumu sana, na uchumi wangu umeyumba!Tena tangu siku hiyo niliyoota ndoto hii nilifukuzwa kwenye nyumba niliyokuwa nimepanga.Nikapanga nyumba nyingine – nayo pia tumefukuzwa mwezi wa sita mwaka huu”.

Mungu aendelee kukubariki sana!

Wednesday, March 22, 2017

NI SALAMA ROHONI MWANGU

*Shida isikutoe kwenye mstari*

Wimbo wa *Ni Salama Rohoni Mwangu* ulitokana na mikasa iliyomkuta  mwanasheria na wakili mahiri mkristo aliyeitwa Heratio Spafford.

Alikuwa na watoto watano akiwemo wa kiume mmoja. Mwanae pekee wa kiume alifariki mwaka 1871 akiwa na miaka minne.

Mwaka 1872 kulizuka moto mkubwa sana maarufu kama moto mkubwa wa Chicago ambao uliteketeza shamba na majumba yake, vitu alivyokuwa amejipatia kwa fedha alizoingiza kutokana na umahiri wake katika taaluma na kazi yake.

Mwaka 1873 alitanguliza  mkewe na mabinti zake wanne kwenda mapumziko Ulaya ambapo angewafuata kesho yake baada ya kumaliza kazi alizokuwa nazo.

Meli iliyokuwa ikiitwa Ss Ville du Havre iliyobeba familia yake ilizama na binti zake wote walifariki akapona mkewe tu ambaye alimtumia  telegramu *Nimepona mimi tu*.

Akiwa njiani kurudi nyumbani kwake nyumba ilimokuwa ofisi yake ikaungua. Kwa bahati nzuri nzuri alikuwa ameikatia bima lakini kampuni ya bima ilikataa kumlipa kwa madai kuwa lile lilikuwa  janga la asili (An Act of God).  Heratio alibaki mtupu - hana pa kuishi wala hana fedha. Akiwa ni mtu wa kiroho aliyemtegemea Mungu alikaa akitafakari yale yaliyokuwa yakitokea katika maisha yake na ndipo alipochukua kalamu na karatasi na kuandika *"Lolote liwalo, Bwana wangu, umenifundisha kusema - Ni salama rohoni mwangu*".  (Maandishi mengine yanasema aliandika maneno haya alipofika eneo la bahari ilipozama meli akiwa safarini kumfuata mkewe Ulaya). Baadae maneno haya yaliongezwa mashairi na kutiwa muziki na kuwa wimbo maarufu sana na wenye mguso wa kipekee wa *Salama Rohoni*. Kama ilivyokuwa kwa Ayubu Heratio alikuja kuinuliwa akapata watoto wengine na mali na fedha.

Mpendwa uliyefiwa, unayeuguza, unayeugua, uliyeishiwa, uliyevunjwa moyo, unayepitia tabu yoyote tukumbuke hakuna giza la kudumu. Tukumbuke Mungu yupo na ameahidi kumlinda kila amtazamaye asivunjwevunjwe au kufa moyo kutokana na taabu.

Kwa mfano huu wa Heratio tunajifunza kuwa ukubwa wa jaribu si tatizo bali mitazamo yetu kuhusu maisha. Ukipatwa na shida ufanye nini? Ujione hufai? Useme Mungu amekuacha? Useme shetani amekuinukia na amekushinda? Ujitoe uhai? Ulalame na kunung'unika usiku na mchana siku nenda rudi? La hasha! Kwanza ondoa tumaini lako kwenye vitu vya kupita na uweke tumaini lako kwa Mungu aliyeviumba na kukuumba. Nafsi yako imhimidi Mungu na kumshukuru kwani pamoja na shida yako kuwa nzito bado kuna vingi vya kumshukuru kwavyo. Hata hivyo atabaki kuwa Mungu. Huyu Mungu amesema katika mambo yote anakuwazia mema. Hata katika jambo baya kwako kuna jema analokuwazia ambalo wewe hulioni. Daudi alisema ajapopita katika bonde la uvuli wa mauti (shida, mateso, majaribu) hataogopa mabaya kwani anaamini katika gongo na fimbo ya Mungu. Akazidi kusema anataka neno moja tu kwa Bwana, nalo ndilo atakalolitafuta. Autazame uzuri wa Bwana na kutafakari hekaluni mwake. Hekaluni mwa Bwana ni kwenye moyo wako. Tafakari ukuu wa Mungu humo badala ya ukuu wa tatizo.

Iwe salama, salama moyoni mwako. Amen.

Monday, March 13, 2017

FAIDA ZA KUMTEGEMEA MUNGU!, Hakuna aliyemtegemea Mungu akapata hasara, ukimtegemea Mungu kuna faida, hebu angalia hizi faida za kumtegemea Mungu:-  (1)Bwana atakupa haja ya moyo wako->ZABURI 37:4.  (2)Kila ulitendalo litafanikiwa->ZABURI 1:3, MITHALI 3:5-6.  (3)Utakuwa na Amani->AYUBU 22:21.   (4)Mema yatakuijilia->AYUBU 22:21.  (5)Utabarikiwa->YEREMIA 17:7, ZABURI 112:3.  (6)Uzao wako utakuwa hodari->ZABURI 112:2.  (7)Utamwona Mungu ktk maisha yako->YOHANA 14:21, MITHALI 8:17.   (8)Mungu anaweka ulinzi juu ya maisha yako->ZABURI 34:7, MITHALI 3:21-26.  (9)Bwana atasikia kilio chako yaani maombi yako->ZABURI 34:15.  Kumtegemea Mungu ndio Maisha ya ushindi kwa mkristo, 

Wednesday, March 8, 2017

NGUZO YA SIKU

Zaburi 24:1
. Nchi na vyote viijazavyo ni mali ya Bwana, Dunia na wote wakaao ndani yake.

Zaburi 24:2
. Maana ameiweka misingi yake juu ya bahari, Na juu ya mito ya maji aliithibitisha.

Zaburi 24:3
. Ni nani atakayepanda katika mlima wa Bwana? Ni nani atakayesimama katika patakatifu pake?

Zaburi 24:4
. Mtu aliye na mikono safi na moyo mweupe, Asiyeiinua nafsi yake kwa ubatili, Wala hakuapa kwa hila.

Zaburi 24:5
. Atapokea baraka kwa Bwana, Na haki kwa Mungu wa wokovu wake.

Zaburi 24:6
. Hiki ndicho kizazi cha wamtafutao, Wakutafutao uso wako, Ee Mungu wa Yakobo.

Zaburi 24:7
. Inueni vichwa vyenu, enyi malango, Inukeni, enyi malango ya milele, Mfalme wa utukufu apate kuingia.

Zaburi 24:8
. Ni nani Mfalme wa utukufu? Bwana mwenye nguvu, hodari, Bwana hodari wa vita.

Zaburi 24:9
. Inueni vichwa vyenu, enyi malango, Naam, viinueni, enyi malango ya milele, Mfalme wa utukufu apate kuingia.

Zaburi 24:10
. Ni nani huyu Mfalme wa utukufu? Bwana wa majeshi, Yeye ndiye Mfalme wa utukufu. Kama TU MALI YA BWANA NA MALI, ELIMU NA CHOCHOTE ALICHONACHO MTU NI MALI YA BWANA, KWA SABABU HIYO BASI IMETUPASA KUWA TAYARI KUKABIDHI MIOYO YETU AITAWALE YESU, Niwatakie asubuhi njema

KUNYAMAZA

.CHAGUA KUNYAMAZA

MITHALI 11:
12 Asiye na akili humdharau mwenziwe;Bali mtu aliye na ufahamu hunyamaza.

MITHALI 17:
28 Hata mpumbavu akinyamaza, huhesabiwa hekima;Akifumba midomo yake, huhesabiwa ufahamu.

Changamoto kubwa tuliyonayo ni kwamba tunataka kuongea kila wakati, tunataka kujibu kila tunachokisikia, kila tunachokiona tunataka kukisemea kitu

Kuna wakati tunasikia na kukutana na mambo ambayo kiuhalisia moyo unagoma kabisa kunyamaza, unatamani ujibu, unatamani uwaambie watu yale umefanyiwa, unatamani uelezee vile umeumizwa lakini kumbe si kila jambo linatakiwa kuongelewa

Si kila ukionacho unatakiwa kukisemea kitu

Si kila usikiacho/uambiwacho ni lazima ujibu

Si kila ufanyiwacho ni lazima umwambie kila mtu

MUHUBIRI 3:
1 Kwa kila jambo kuna majira yake,Na wakati kwa kila kusudi chini ya mbingu.

7 Wakati wa kurarua, na wakati wa kushona;Wakati wa kunyamaza, na wakati wa kunena;

Ipo nguvu katika kunyamaza

Yapo mambo ambayo tunapaswa kuongea, kusema, lakini yapo mambo ambayo tunapaswa kunyamaza kwaajili ya usalama wa Roho zetu

Ni kweli kuna wakati unasemwa sana vibaya, unasingiziwa, unatukanwa nk nk, lkn ni lazima ukumbuke kwamba kuna mazingira ambayo hupaswi kujibizana hata kama umeumia kiasi gani

Unajua ni kwanini?

Ukisemwa vibaya, ukitukanwa, ukidharauliwa lazima moyo utaghafirika, moyo ukighafirika lazima utakuwa na hasira na ghadhabu

Ukiwa na hasira katu usitegemee kuwa utajadiliana na mtu kwa hekima

Ukiongea utaongea katika uwepo wa hasira, ukijibu utajibu kulingana na kiwango cha hasira ulichonacho.

"AKUSHINDAE KUONGEA, MSHINDE KUNYAMAZA".....

HALELUYA

Shalom

*...Mkiisha kuwekwa  huru....*
       🌹lazima kuwa huru katika maisha yetu ili tuwe mbali na dhambi. 👇🏽👇🏽

*Lakini sasa mkiisha kuwekwa huru, na kuwa mbali na dhambi, na kufanywa watumwa wa Mungu, mnayo faida yenu, ndiyo kutakaswa, na mwisho wake ni uzima wa milele. Warumi 6 :22*

      🙆🏽‍♂kumbe dhambi na kutokuwa huru kunatunyima kupata ya kutakaswa, na tena tunakoswa uzima wa milele.

       🙇🏽pia hakuna uzima wa milele bila utakaso, hivyo Tafuta utakaso upate uzima usio na mwisho. 😀😀

_usililie baraka ila Lilia utakaso kwanza_

       ©Mwl Erick Machumu
      0752763020

Sunday, March 5, 2017

TAFUTA AMANI NA MUNGU

Shalom KANISA

TAFUTA AMANI NA MUNGU
Mithali 8:17 "
Nawapenda wale wanipendao, Na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. "
Isaiah 55:6
Mtafuteni Bwana, maadamu anapatikana, Mwiteni, maadamu yu karibu;
Waebrania 12:14
Tafuteni kwa bidii kuwa na amani na watu wote, na huo utakatifu, ambao hapana mtu atakayemwona Bwana asipokuwa nao;
Yohana 3:16
Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.
UNAPENDWA NA MUNGU!
Wewe ni wa thamani sana hata kama haujui! Mungu anakupenda! Alimtoa kristo akafa msalabani ili kulipa deni la dhambi zetu zote tulizofanya na kumwasi mungu kwani.Thamani ya ko ni Damu ya Mwana wa Mungu isiyo na ila wala dhambi...Halleluyah,Unapendwa!
1Peter 1:18-19 "18
"Nanyi mfahamu kwamba mlikombolewa si kwa vitu viharibikavyo, kwa fedha au dhahabu; mpate kutoka katika mwenendo wenu usiofaa mlioupokea kwa baba zenu;19 bali kwa damu ya thamani, kama ya mwana-kondoo asiye na ila, asiye na waa, yaani, ya Kristo.
20 Naye amejulikana kweli tangu zamani, kabla haijawekwa misingi ya dunia; lakini alifunuliwa mwisho wa zamani kwa ajili yenu; 21 ambao kwa yeye mmekuwa wenye kumwamini Mungu, aliyemfufua katika wafu akampa utukufu; hata imani yenu na tumaini lenu liwe kwa Mungu."
Umeamini? Unapendwa! Kristo alikuwepo miaka mingi mingi milele yote,lakini alifunuliwa kwajili yetu sote,mimi na wewe, sisi ni sababu hasa ya kristo kuja ulimwenguni. Unapendwa!
UNAMHITAJI YESU KRISTO,FANYA UAMUZI SASA UMKARIBISHE MAISHANI MWAKO.
Hizi ndio sababu kwa nini unamhitaji Yesu kristo:
Warumi 3:23 " kwa sababu wote wamefanya dhamb i, na kupungukiwa na utukufu wa Mungu;"
Warumi 5:12 Kwa hiyo, kama kwa mtu mmoja dhambi iliingia ulimwenguni, na kwa dhambi hiyo mauti; na hivyo mauti ikawafikia watu wote kwa sababu wote wamefanya dhambi;
Maandiko yanaendelea kueleza juu ya huyu Yesu kristo inasema katika
"Warumi 5:18-19
18 Basi tena, kama kwa kosa moja watu wote walihukumiwa adhabu, kadhalika kwa tendo moja la haki watu wote walihesabiwa haki yenye uzima. 19 Kwa sababu kama kwa kuasi kwake mtu mmoja watu wengi waliingizwa katika hali ya wenye dhambi, kadhalika kwa kutii kwake mmoja watu wengi wameingizwa katika hali ya wenye haki."
UNATAKIWA KUFANYA NINI?
Hebu tuone hapa jinsi maandiko yanavyotupa jibu:
Matendo ya mitume 2:37-40
"Walipoyasikia haya wakachomwa mioyo yao, wakamwambia Petro na mitume wengine, Tutendeje, ndugu zetu?38 Petro akawaambia, Tubuni mkabatizwe kila mmoja kwa jina lake Yesu Kristo, mpate ondoleo la dhambi zenu, nanyi mtapokea kipawa cha Roho Mtakatifu.39 Kwa kuwa ahadi hii ni kwa ajili yenu, na kwa watoto wenu, na kwa watu wote walio mbali, na kwa wote watakaoitwa na Bwana Mungu wetu wamjie.40 Akawashuhudia kwa maneno mengine mengi sana na kuwaonya, akisema, Jiokoeni na kizazi hiki chenye ukaidi.
Matendo ya Mitume 16:30-31
" kisha akawaleta nje akasema, Bwana zangu, yanipasa nifanye nini nipate kuokoka?Wakamwambia, Mwamini Bwana Yesu, nawe utaokoka pamoja na nyumba yako."
Inawezekana nawe unajiuliza ya kwamba unawezaje kupokea kipawa hiki cha Mungu cha wokovu kwa njia ya Yesu Kristo ukisema na kuuliza moyoni
"Tutendeje, ndugu zetu?".Jibu linapatikana unatakiwa kufanya yafuatayo:
1.Tubu dhambi zako zote ulizotenda mbele ya Mungu kwa kumwambia kwamba umekosa na muombe akusamehe na akupe nguvu ya kushinda hiyo dhambi ili usije ukaanguka tena.atakusamehe na kukupokea ikiwa utafanya hivyo kwa moyo wako wote na kwa imani. Pia
"Mithali 28:13 Afichaye dhambi zake hatafanikiwa; Bali yeye aziungamaye na kuziacha atapata rehema."
2.Mwamini Bwana Yesu na mkaribishe kwenye moyo wako na maisha yako. Ni Yesu pekee ndio mwokozi wa ulimwengu na hakuna njia nyingine yoyote ile ya kumfikia Mungu isipokuwa kristo Yesu hata anasema mwenyewe
"Yohana 14:6 Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi. "
3.Liitie Jina la Yesu
Tunaokolewa kwa kupitia jina moja tu! vizazi vyote na jamii yote ya mwanadamu tunaokolewa kwa jina la yesu. JINA LA YESU NDILO LILILOBEBA WOKOVU WA KILA MWANADAMU
Imesemwa katika Mathayo 1:21 "Naye atazaa mwana, nawe utamwita jina lake Yesu, maana, yeye ndiye atakayewaokoa watu wake na dhambi zao." pia anasema
Matendo ya Mitume 2:21 "Na itakuwa kila atakayeliitia jina la Bwana ataokolewa."
Warumi 10:13 " kwa kuwa, Kila atakayeliitia Jina la Bwana ataokoka."
Usiache nafasi hii ikupite bila ya kuliitia jina la Yesu hakika litafanya kazi kwako!
Liitie Jina la YESU KRISTO kwanjia ya maombi toka moyoni mwako na mwombe Bwana akusamehe dhambi zako zote nawe utaokoka sasa! hivyohivyo ulivyo Kristo anakupenda na kamwe hatakutupa ukimwendea.kwa ahadi hii hakikisha umefanya uamuzi wa kumpa kristo maisha yako .
Yohana 6:37
"Wote anipao Baba watakuja kwangu; wala ye yote ajaye kwangu sitamtupa nje kamwe."
Yohana 6:35
"Yesu akawaambia, Mimi ndimi chakula cha uzima; yeye ajaye kwangu hataona njaa kabisa, naye aniaminiye hataona kiu kamwe."
Biblia katika Yohana 12:44-50 inasema:
"Naye Yesu akapaza sauti, akasema,
Yeye aniaminiye mimi, haniamini mimi bali yeye aliyenipeleka.45 Naye anitazamaye mimi amtazama yeye aliyenipeleka.
46 Mimi nimekuja ili niwe nuru ya ulimwengu, ili kila mtu aniaminiye mimi asikae gizani. 47 Na mtu akiyasikia maneno yangu, asiyashike, mimi simhukumu; maana sikuja ili niuhukumu ulimwengu, ila niuokoe ulimwengu.
48 Yeye anikataaye mimi, asiyeyakubali maneno yangu, anaye amhukumuye; neno hilo nililolinena ndilo litakalomhukumu siku ya mwisho. 49 Kwa sababu mimi sikunena kwa nafsi yangu tu; bali Baba aliyenipeleka, yeye mwenyewe ameniagiza nitakayonena na nitakayosema.
50 Nami najua ya kuwa agizo lake ni uzima wa milele; basi hayo ninenayo mimi, kama Baba alivyoniambia, ndivyo ninenavyo.
Je nawewe ni miongoni ambao bado unamkataa YESU na maneno yake? lini utamkubali na kumwamini?.kumbuka YESU Ni MWOKOZI WAKO,AMEKUFIA MSALABANI na saa ya wokovu ni sasa FANYA MAAMUZI YA KUMFUATA KRISTO!.
Sali sala hii fupi toka moyoniUkimtazama na kuamini kwamba Mungu anakusikia kama umeamua kumwamini yesu na unataka atawale maishani mwako,akupe furaha amani na msamaha wa dhambi na akufanye kuwa mwana wa mungu sawasawa na alivyoahidi omba ukisema:
"BWANA YESU NINAKUJA KWAKO MIMI NI MWENYE DHAMBI NINAOMBA UNISAMEHE NA KUNIOKOA.KARIBU KWENYE MAISHA YANGU NA MOYO WANGU,UNISAMEHE MAOVU YANGU YOTE,UNIOSHE NA KUNITAKASA.KUANZIA SASA MIMI NI WAKO.NINAKUSHUKURU KWA KUWA ULIKUFA MSALABANI KWA AJILI YA DHAMBI ZANGU NA KWA KUNIPOKEA.SASA NIMEOKOKA.MIMI NI MWANA WA MUNGU,
Amen"
Sasa ndo umeokoka ivyo, Kristo ameingia ndani yako,wewe sasa umekuwa kiumbe kipya kwani anasema katika
"2Wakorintho 5:17
Hata imekuwa, mtu akiwa ndani ya Kristo amekuwa kiumbe kipya ; ya kale yamepita tazama! Yamekuwa mapya. " pia ahadi hii inakuhusu sana anasema "
Yohana 1:12
Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake; "
Mambo ya kuzingatia:
1. Zungumza na Mungu kwa maombi kila siku (Yohana 15:7)
2. Soma Neno la Mungu (Biblia) kila siku (Matendo ya Mitume 17:11)
3. Mruhusu Roho Mtakatifu akutawale (Wagalatia 5:16-25; Warumi 8:14-17)
4. Umtumaini Mungu kwa kila jambo katika maisha yako (1Petro 5:7; Zekaria 4:6)
5. Usiache kukusanyika na kushirikiana na wengine waliompokea Yesu Kristo kuwa Mwokozi wao kama wewe ili uimarike zaidi (Waebrania 10:25)
Unapendwa!
MUNGU wa mbinguni ni Baba yako.sema naye kwanjia ya maombi na sikia kutoka kwake kwanjia ya kusoma Biblia.Kama unapata shida.
Jenga mazoea ya Kusoma Biblia nakushauri anza na kitabu cha Yohana Mtakatifu,ukimaliza Soma Warumi halafu malizia Biblia yote katika hali ya maombi na kumwamini Mungu utashangaa kuona jinsi Mungu anavyokupenda na alivyo kuahidia mambo mazuri mno katika ulimwengu wa sasa na ule unaokuja baada ya kufa.Omba usiache.

LESSON THE POWER OF POSITIVE THINKING

Welcome to the Lesson : THE POWER OF POSITIVE THINKING. DON’T be discouraged! You WILL succeed!
It breaks my heart to see how many people today, especially young people, are ignoring God’s word or even turning their back on his word in order to pursue and fulfil what they call their ‘purpose’ or ‘destiny’ in life. They think they have to eat and drink from another source other than the word of God to get what they want, and the source they eat and drink at is the philosophy of this world, the ideas and thoughts of unbelievers, of those who don’t know God, who live independently of God and believe in their own ability and powers to fulfil their dreams and become successful. In this sense, they drink from a river the proceeds from the devil himself. They follow the teachings of atheists. The teaching arose in about the 1950s and although there are different variations of this teaching, they all come under the heading of ‘the power of positive thinking.’ Many popular preachers, who call themselves Christians, now promote these ideas, and those who are more interested in becoming successful in their careers and business than in following Jesus Christ eagerly absorb these teachings as though the Bible had never been written. What is the teaching of ‘the power of positive thinking’, what is the teaching of these people who totally disregard God? Well, I will quote some of their standard statements. it goes something like this:
‘Everything depends on your attitude. If you want to be successful you need to change your attitude. If you have the wrong attitude you will always be unsuccessful and poor. Change your thinking! Only think positively and you will succeed. Grasp the opportunity! Your future is in your hands; everything depends on the decisions you yourself make! Start thinking big, start dreaming big, start imagining big things for yourself! Have confidence in yourself! Persevere and in the end you will be victorious! Don’t give up! Never be discouraged! Pursue your dreams! The way to success is paved with failure, so don’t give up! Focus on those things that will help you to fulfil your destiny! Associate with those people and with those contacts who will help you achieve your dreams! You need to discover your purpose in life! How can you fulfil your destiny if you haven’t discovered your purpose in life? Your destiny is in your hands.’
What I have just quoted are some typical statements of those who promote the power of positive thinking, that is, just by having the ‘right’ attitude, you can be ‘successful’ and ‘fulfil your dreams’. This is the anti-Christian, or we can say, antichrist teaching of unbelievers who turn their backs on God and want to fulfil their own ambitions and dreams, believing it is their efforts and choices that will make them successful. It is amazing and distressing to see how many young Christians swallow this unbiblical self-centred approach. It is not God-centred, it is not Christ-centred, it puts you yourself in the centre! None of the above statements that I quoted f come rom the Bible or have anything to do with the Bible! Most quotes do not mention verses from the Bible. Although some of the words are similar to what we find in the Bible, nevertheless the context and the source from which they come are totally different – like a difference between light and darkness! All the statements lead you to put confidence in yourself, in your decisions, in your abilities, in your powers, while ignoring the God who gave His Son that you should be His and His alone!
Now of course, some of the statements above have a definite element of truth in them, JUST LIKE what the devil said to Eve had A DEFINITE ELEMENT OF TRUTH, when he told her that they would become as God if they ate from the tree of the knowledge of good and evil! And this part was true! Because after they had eaten that fruit, God said, ‘Behold, the MAN IS BECOME AS ONE OF US, to know good and evil.’ So the devil’s words had one aspect of truth, but it was not THE TRUTH, it was not the WHOLE truth, so it led them into sin, into independence from God and into SEPARATION from God. And this is what the teaching of the power of positive thinking will do in your life if you follow it.
One quote said that God blesses you only ‘spiritually’, but that YOU YOURSELF are responsible for making your life shine with success! Not only is such a thought unbiblical, it represents blasphemy against God! It is a slander against God. He knows if a sparrow falls to the ground, how much more does he not know about every step of your life and my life! God knows us through and through; he knows everything about us, from the time we get up to the time we go to bed! Do we really think that God has no interest in the choices we make; that God has no interest in the direction that our lives should take? Do we think that somehow we have to make choices independent of God in order for our destiny to be successful? Do we not read the Bible? Are we followers of Christ or not? In Ephesians chapter 2 and verse 10 it says this, ‘for we are HIS workmanship created in Christ Jesus unto good works which God has BEFORE ORDAINED that we should walk in them.’ Do we know this verse? Do we believe this word? Or do we feel safer if we take our lives out of the hands of God, out of his direction, and make our own decisions? Do we really think that by committing our lives to Christ and trusting him for every step we take that some how we will lose out, that we will miss our destiny? Is God in charge of our lives – yes or no?
It is clear from the posts many people put on Facebook that they do not know the Bible, that they are not lead by the word of God in their lives, that they do not understand the nature of God and who he is, and that they do not understand that they do not belong to themselves any more but to the one who loved them and died for them. How can we think that the only alternative to fulfilling our dreams and ambitions by our positive thinking, is to be left helpless, like a passive piece of wood in a river, being carried by life’s circumstances without direction, without destiny, without hope? How can Christians have an attitude like this? If we are talking about changing our attitudes in order to change our lives, THEN THIS FALSE ATTITUDE, this slander against God IS THE ATTITUDE THAT NEEDS CHANGING! Not to follow the anti-Christian teaching of the power of positive teaching DOES NOT MEAN that your life is left at the mercy of your circumstances! There is a God who loves you so much that he gave his Son to die for you, not just to forgive you, save you from sin and bless you with every spiritual blessing in the heavenlies, but He has a path and a way for you to walk in. Are you interested in his will for your life? Do you seek first his kingdom and righteousness? So why drink the poison from the river of the power of positive thinking? Are you afraid, are you really afraid, do you really believe that by trusting God, by putting your life in his hands, by committing to him every step that you take, that you will miss out on the things that God himself has prepared for you? Do you want God to ordain the steps you take or do you want to choose them yourself without reference to him? It gets to a point where I asked myself what is being preached in churches today, are young people really being converted and brought into this salvation that Christ died for?
Where does the Bible say ‘trust in yourself’, ‘have a positive attitude and you will succeed’, ‘changing your attitude is the secret to success’? WHY DO BELIEVERS NOT QUOTE THE BIBLE to encourage one another? I think the reason is this: the word of God does not give us the freedom to choose our own way, and that’s exactly what people want to do today, although they say they are followers of Christ. They follow the teaching of atheists through the following the teaching of the power of positive thinking so they can get what they really want while having the appearance of it being God’s will in their lives! Why do believers not quote one of the most important and encouraging verses in the whole Bible that relates to this subject? Namely, Proverbs chapter 3 verses five and six, which says, ‘trust in the Lord with all your heart and don’t lean to your own understanding. IN ALL YOUR WAYS ACKNOWLEDGE HIM AND HE WILL DIRECT YOUR PATHS.’ Why do they not quote this verse? I’ve not seen it anywhere on Facebook in reference to our future lives. Do they think God is not able to direct them, to fulfil HIS purposes for their lives? Is this what they think about God? Personally, I think part of the reason is this, that this verse, as with other verses in the Bible, bring God into the equation, bring God into the situation, bring God into your life! And then there is the fear that the things I personally really want may not come to pass! And that is the reason for the popularity of the teaching of the power of positive thinking! It puts the decision-making into your hands, not God’s!
Why don’t believers quote from Psalm 37 and verse five which says, ‘commit your way to the Lord, trust also in him, and he will bring it to pass.’ The idea that God can only bless us ‘spiritually’ but that we have to take over the direction of our lives by making our own choices, is a lie. Of course we have to think about things, of course we have to make decisions, of course there are opportunities that we need to consider! This is natural to life! This is not rocket science, this is no mystery! This is true of every person who has ever lived! THE QUESTION IS THIS, will you COMMIT your life, every step you take, every opportunity that comes along to the living God? This is the one issue! This is the heart of the matter! Committing every step we take, every decision we want to make into the hands of God does not deprive us of his purposes for us on earth nor of our eternal purpose in and through him! How could it? You might say, ‘Oh, of course I follow Christ in these things!’ Well, why do you then quote the thoughts and attitudes of the power of positive thinking (which originate from ungodly men) instead of the word of God?
Of course, people try to validate this kind of apostasy from the word of God by quoting the Bible! So they quote Psalm 37 and verse four where it says, ‘Delight yourself also in the Lord and he will give you the desires of your heart.’ And then they say, ‘You see, God wants to give you the desires of your heart!’ And by believing this they open the door to every personal dream and ambition that they have without a true consideration of what God’s will for their lives is! And they forget the first part of the verse which says, ‘delight yourself in the Lord!’ The problem is, at the heart of the matter, that many believers delight themselves IN THEIR OWN AMBITIONS AND DREAMS! And then use this verse to pursue them! If you delight yourself in the Lord, if he himself is your joy and your love, then it will be natural to you to seek his will and to do his will in your life! As the psalmist said, ‘I delight to do your will, O my God: yea, your law is within my heart.’ (Psalms 40:8). People are turning things upside down today and delighting themselves in something else other than God!
Many young Christians are falling into the trap that the apostle James warns against! In his letter in chapter 4 verses 13 to 16 he says this, ‘ Come now, you that say, Today or tomorrow we will go into such a city, and continue there a year, and buy and sell, and get gain: Whereas you know not what shall be tomorrow. For what is your life? It is even a vapour, that appears for a little time, and then vanishes away. For you ought to say, If the Lord wills , we shall live, and do this, or that. But now you rejoice in your boastings: all such rejoicing is evil .’
You see, even in New Testament times believers got caught up with their ‘dreams’ and ‘ambitions’. They were SO OCCUPIED with making a ‘success’ of their business and careers, that they LEFT GOD OUT of their planning! Even so today, many believers are boasting and rejoicing in the idea that they can fulfil their ambitions and their ‘destinies’ by their positive thinking, by never giving up, by never being discouraged by anything! The word of God says that all such boasting and rejoicing is evil. That’s the plain and simple truth. Let us be clear, very clear, it is not a question about whether you can have plans for the future or not, but whether you take account of God and his will for your life in the things you plan! James wasn’t criticising people for having a plan, he was rebuking them for not taking account of God and his will! He was rebuking them for being captivated by the idea of success and a successful future, and forgetting God in the process! Putting your trust in God doesn’t mean turning off your brain like you turn off computer; it doesn’t mean you stop making decisions or plans; it doesn’t mean becoming lazy; it doesn’t mean you can’t take up opportunities that come along! It means you take account of God and his will in everything you do. It means presenting yourself as a living sacrifice with regard to every major step in your life, seeking his confirmation and approval – or his redirection! It means making sure that the opportunity that presents itself to you is the one that God has provided for you!
This takes away all the slavery to positive thinking! ‘I have to keep positive, I have to keep the right attitude, I mustn’t give up, I mustn’t get discouraged etc etc.’ If your life is committed to him and if you commit each step you make to him and seek his confirmation and direction, then you can have PEACE in your heart, a peace that passes all understanding, you can have the joy and confidence that comes from knowing you are in his will! This peace and confidence is the ASSURANCE AGAINST all discouragement and difficulties that arise! Your ‘victory’ does not issue out your ‘positive thinking’, it stems from YOUR CONFIDENCE IN GOD! You can now be freed from all that hard-working mental activity about ‘being positive’, and replace it with a deep trust and confidence in God, who may lead you in the way you would choose, but who may choose not to lead you that way but in another direction! Are you prepared to live like that or not?
Some people give the impression that if you don’t employ ‘the power of positive thinking’ in your attitude, that it means you become passive, carried along by life circumstances – you don’t know where! To think like that is not to think, is not to use our brains! The Bible is full of exhortations and encouragement!
We are told in Romans 12:11 not to be lazy but to be diligent in the things that we do, and that everything we do whether in word or action, we should do ‘all in the name of the Lord Jesus giving thanks to God and the Father by him.’ (Colossians 3:17). Paul tells the Thessalonians that if anyone is lazy and doesn’t work then this person shouldn’t eat either (2 Thessalonians 3:10). Concerning our future and the will of God for our future the Bible does not tell us ‘to think positively’, it does not tell us to have ‘a positive attitude’ in order to ‘succeed’. Concerning the will of God and our future, what we need is to have our ‘minds renewed’ – that is the teaching of the Bible! So we read in Romans 12:1,2,
‘I beseech you therefore, brethren, by the mercies of God, that you present your bodies a living sacrifice, holy , acceptable unto God, which is your reasonable service. And be not conformed to this world: but be transformed by the renewing of your mind, in order that you may prove what is that good, and acceptable, and perfect, will of God .’
Do you think that your hopes and ambitions and destiny are under threat if you do this? It would seem that many do think this, since they are always quoting from the power of positive thinking! How can you be renewed in your mind to know what God’s will is if you fill your heart and mind with the power of positive thinking? That is a sure way of missing God’s will, certainly in this life, and risking the life to come!
As I have said, it is by committing ourselves to Christ continually that we have an understanding and assurance of his good, acceptable and perfect will! THIS is our CONFIDENCE and PEACE in facing any difficulty that may come; it is this confidence and peace that deals with any discouragement that may come! You don’t fight discouragement by fighting discouragement (with your ‘positive’ thinking) but by putting your trust in God. What people and ‘believers’ are posting on facebook and other forums about positive thinking and how everything depends on your attitude, takes God out of the equation, out of people’s thinking, out of people’s lives!
People quote Scripture in order to try to validate the ideas of unbelievers; so for example, they like to quote Proverbs 23:7, where it says, ‘as he thinks in his heart so is he.’ So those who want to exalt self and ignore God’s word say, ‘You see, your attitude is important. How you think in your heart defines you!’ Of course attitude and thinking is important, vitally important! But it is the word of God that is to shape our attitude and thinking! The word of God directs us to the kind of attitude we should have and the kind of thinking we should be engaged in! We are to have faith in Christ and to trust God in all things! This is a foundational attitude! We are to rejoice in Christ Jesus always! With regard to our thinking read Philippians 4:8 where it says, ‘Finally, brethren, whatsoever things are true, whatsoever things are honest, whatsoever things are just, whatsoever things are pure, whatsoever things are lovely, whatsoever things are of good report; if there be any virtue, and if there be any praise, think on these things.’ I suppose to many this verse doesn’t appeal so much as thinking positively about how successful your career is going to be!
With regard to attitude we have a clear instruction in Philippians chapter 2, where Paul says in verse five, ‘let this mind be in you which was also in Christ Jesus.’ What an amazing verse that is! To have the same attitude as Christ. Is that the attitude you want? Read the first half of this chapter to get the full context and blessing! If you want to change your attitude, what about adopting the attitude of the apostle Paul, who says in Philippians chapter 3, in verses seven and eight, ‘But what things were gain to me those I counted loss for Christ. Yea doubtless, and I count all things but loss for the excellency of the knowledge of Christ Jesus my Lord: for whom I have suffered the loss of all things, and do count them but dung, that I may win Christ.’ Is that your attitude – in comparison to knowing Christ, everything else is just dung?
People talk about achieving their goals. Well, the apostle Paul had a goal. Paul had one goal, one aim. He said, ‘Brethren, I count not myself to have apprehended: but this one thing I do, forgetting those things which are behind, and reaching forth unto those things which are before, I press toward the mark for the prize of the high calling of God in Christ Jesus . (Philippians 3:13-14). So if you believe we need to change our attitude, is this the attitude you believe we need to have? Is this your attitude; is this your goal? Or do you think this attitude is just for apostles? But read the next verse and you will see it’s not just for apostles but Paul wants everyone to have this attitude! Paul says if you want to have the right attitude, if you would be perfect in your thinking, if you want to have the right attitude, then this is the attitude you should have!
What is the will of God for your life? The word of God tells you, ‘For this is the will of God, even your sanctification, that you should abstain from fornication.’ (1 Thessalonians 4:3). If you fall into fornication while pursuing your successful career, how will your successful career save you in that day? What is the will of God for my life? He tells me, ‘Rejoice evermore. Pray without ceasing. In everything give thanks: for this is the will of God in Christ Jesus
concerning you .’ (1Thessalonians 5:16-18). You might ask me, “What has this to do with my future career?” Well, it has EVERYTHING to do with your future! If you don’t have the right relationship with God, if you don’t have the right attitude towards God, if you are not walking in fellowship with God and committing your life continually to him you will MISS his will for your life! Or have you made future success and idol in your life?
Many Christians shamelessly teach things like, “You need to discover your purpose in life; you need to fulfil your destiny in life! If you don’t know your purpose in life how can you fulfil your destiny?” This is nonsense! Christians talk as if there is no Bible and no God! Our destiny on earth and in eternity is made clear from the first chapters of the Bible, where God says, “let us make man in our own image.” God’s eternal purpose for you and me is to be made in his image, to shine in his image! “For whom he did foreknow, he also did PREDESTINATE TO BE CONFORMED TO THE IMAGE OF HIS SON, that he might be the firstborn among many brethren. (Romans 8:29; read also 2 Corinthians 3:18 and 1 John 4:17). We are to be as Christ on earth and in eternity! This is our destiny! How can people TRIVIALISE the great calling of God on our lives and reduce and corrupt its meaning to apply a temporary career or business we might have on earth?
What is the purpose of eternal life? Jesus Christ gives us a clear answer in John 17:3, where he says, “And this is life eternal, that they might know you the only true God, and Jesus Christ, whom you have sent.” Our purpose in time and in eternity is to know the Father and to know the Son! The devil wanted to destroy God’s purpose for Adam and Eve on earth and he enticed them by quoting something that was true (in part!). And the devil wants to do the same in your life by enticing you with the teaching of the power of positive thinking – and it seems he is succeeding in many lives! And there are preachers today that do this very thing, namely, they teach a self-centred gospel about positive thinking and success and make it enticing by quoting and corrupting a few Scriptures to support these deceptions.
God is well able to sort out and direct my life in the path that he has chosen with regard to any job of future activity I might be involved in! This is incidental to the great calling with which he has called you and me in Christ Jesus! If I put my trust in Christ and commit my life and every step I take to him, then he is well able to lead me into the job or career that he wants me to do and to bless me! But my job, career or business is not my life’s purpose nor is it my destiny! Christ is my destiny – in this life and in eternity! To be like him, and manifest his life on earth in everything that I do – that is my purpose and my destiny! Christians are turning to the world’s philosophy and teaching things that rob Christians not only of God’s eternal purpose and destiny for them but also of God’s will for them on earth by filling their heads and hearts with the ideas of the power of positive thinking that focuses on their abilities, their decisions and their attitude rather than focusing on TRUSTING in God, COMMITTING one’s life to him at every step and letting him CONFIRM his will for our lives.
Let me just say, in case someone misunderstands me, that the alternative to having what they call a ‘positive attitude’, is not being negative, feeling useless and hating yourself! Because this too is the devil’s work! The alternative is putting our hope and trust completely in Jesus Christ who loved us and gave himself for us that we might have life, and have it more abundantly! God can make a way for us through the most impossible situations (Isaiah 43:1-3,16). The Scriptures that exhort and encourage us to put our trust in God are too numerous to mention here! If you want your thinking to be ‘positive’ in the biblical sense, then what you need to do is to put all your trust in the living God!
This is what the apostle Paul did and that’s why he could say in Philippians 4:13, ‘I can do all things through Christ who strengthens me.’ But what are the ‘all things’ that Paul mentions here? This is what he says, ‘I know both how to be abased, and I know how to abound: everywhere and in all things I am instructed both to be full and to be hungry, both to abound and to suffer need.’ Paul was prepared for, and content in any situation! He can do these all things through Christ! Many people will not like this because putting your trust in Christ does not always lead to what people consider success or being successful. And here we have the fundamental reason why they turn their back on God’s word and embrace the teaching of the power of positive thinking which in general leaves out references to God and to Christ! They say things like ‘just change your attitude and you will find success; have confidence in yourself and you will succeed!’ In many of their statements they leave out the reference to God and to Christ since there one aim is not Christ but a successful business or career! Or these false preachers will simply corrupt God’s word and so you will find total nonsense posted on Facebook, like for example, ‘God has confidence in you, so have confidence in yourself.’ God has confidence in you? Where do they get this from? Why do believers swallow this poison? God loves us and has given us the most precious thing that he has, namely his son Jesus Christ, because our lives were lost in sin and darkness, so that we might now put our trust completely in him who alone is worthy! That’s why Paul says in Philippians 3:3, “For we are the circumcision, who worship God in the spirit, and rejoice in Christ Jesus, and have no confidence in the flesh.” These are the characteristics of the true Christian! Life’s difficulties are to teach is one thing, namely, “that we should not trust in ourselves, but in God
who raises the dead.” (2 Corinthians 1:9).
Please let me be clear. The question is not whether we use our abilities or not, IT IS A MATTER OF WHERE WE PUT OUR TRUST. You see, the choice is not between confidence or no confidence, but putting our confidence in God!
Coming to God about these matters to find his good, acceptable and perfect will, means that at times we might find that His will is different to what is in our hearts, and if we are to live before him as a living sacrifice, then we should be prepared for this. Many years ago I very much wanted to pursue a particular course of action in my life, a very important one, but as I waited on God it became increasingly clear that it was not the way that God wanted me to go. Often God confirms his will by the peace that he gives us in our hearts, or by the total lack of peace! And I simply had no peace in my heart to take the step, although I thought it was the perfect timing and opportunity! How thankful I am today that I didn’t take that step, which I can now see, looking back, would have been disastrous for me! What a wonderful God we have! What a wonderful father we have, who so cares for us and who can direct us in the important decisions of our lives! He sees and knows things that we can’t possibly know or foresee! But this is only possible if we present our bodies and our lives as a living sacrifice before him and put our trust wholly in him! I trust these few words will encourage you to put your trust in Him. Amen.

TEMBEA NURUNI MWA KRISTO

Shalom Kanisa
Biblia inasema  "bali tukienenda nuruni, kama yeye alivyo katika nuru, twashirikiana sisi kwa sisi, na damu yake Yesu, Mwana wake, yatusafisha dhambi yote. (1 YOH. 1:7 SUV).*
Moja ya vitu ambavyo shetani atavihakikisha pale unapokuwa na majanga ni kukukata na ushirika na watu wengine wa Mungu.
Atakufanya ujisikie vibaya mpaka uone kuwa hustahili kuwa katika ushirika na watu wengine wa Mungu.
Ataweka uzito kwako wa kuhudhuria katika ushirika na watu wengine wa Mungu.
Atafanya hivyo maana anajua nguvu ya ajabu ya ushirika.
Anajua walipo wawili au watatu wamekusanyika kwa Jina Lake Yeye huwa Naye anakuwepo hapo katikati yao.
Anajua mahali Alipo Bwana Damu Yake pia ipo kuwatakasa watu na dhambi yote.
Anajua kuja kwako tu katika ushirika na wapendwa wenzio kuna Damu ipo itakayokutakasa na dhambi yote.
Anajua kuwa moja ya vitu vilivyopo Sayuni yaani katika kusanyiko la wateule ni Damu ya kunyunyizwa ya Mwana Kondoo wa Mungu ituneneayo mema kuliko ile ya Habili.
Shetani anapokuwekea uzito wa kufika kusanyikoni au kanisani au kwenye ushirika na wapendwa wengine ndo hilo analilenga.
Hataki ukutane na Damu ya Yesu itakasayo.
Hataki ukutane na Damu ya Yesu ikuneneayo mema.
*Na kwa habari zako wewe, kwa sababu ya damu ya agano lako, nimewatoa wafungwa wako katika shimo lile lisilo na maji. Irudieni ngome, enyi wafungwa wa tumaini; hata hivi leo nasema ya kwamba nitakurudishia maradufu. (ZEK. 9:11-12 SUV).*
Anajua kabisa kuwa hio Damu ya Agano ya Mwana Kondoo itakutoa kwenye shimo lisilo na maji.
Mashimo yasiyo na maji yalikuwa yanatumika kama magereza katika siku za kuandikwa huu mstari.
Kwa hiyo kimsingi shetani atakukata na ushirika ili Damu ya Yesu isikutoe katika magereza mbali mbali ambayo umo iwe ya kitabia, ya kimwenendo, na ya aina mbalimbali.
Anatuambia tuikimbilie ngome.
Ngome ipi?
Ngome ya Damu ya Yesu ambayo inakuwa dhahiri sana kwenye ushirika wa watu wa Mungu.
Tena anawasemesha wafungwa wa tumaini.
Yaani hata kama umefungwa leo alimradi huachi kuja ushirikani, ibadani, kwenye kusanyiko la watu wa Mungu lipo tumaini kwa ajili yako.
Damu ya Yesu itakutoa kwenye hicho kifungo.
Ndiyo maana tunasisitizwa tusiache kukusanyika.
*wala tusiache kukusanyika pamoja, kama ilivyo desturi ya wengine; bali tuonyane; na kuzidi kufanya hivyo, kwa kadiri mwonavyo siku ile kuwa inakaribia. (EBR. 10:25 SUV).*
Anajua ukikusanyika utapokea maonyo toka katika Neno la Mungu.
Anajua nguvu ya maonyo kulainisha moyo wa mwanadamu.
*“Lakini mwonyane kila siku, maadamu iitwapo leo; ili mmoja wenu asifanywe mgumu kwa udanganyifu wa dhambi.” (EBR. 3:13 SUV).*
Anajua kuwa ukiendelea kuja nyumbani mwa Bwana kukusanyika na wapendwa wenzio utapata maonyo kupitia neno linalohubiriwa na kufundishwa ili moyo wako usije ukafanywa mgumu na udanganyifu wa dhambi.
Na ndo hilo shetani hataki kwa hiyo anakuhubiria na kukupa sababu kwanini usiende Nyumbani Mwa Bwana.
Anakuambia wewe kaa tu nyumbani.
Anakuambia wewe ingia mtaa.
Anakuambia kwanza wewe hufai wala hustahili.
Kumbe ni kampeni zake za kukuweka mbali na Damu ya Yesu ijidhihirishayo kusanyikoni na Neno la Mungu la maonyo kwako.
Kuna wengine mtakuwa mnasoma hii ambao mmekata tamaa hata kumtumikia Mungu kwa ajili ya kile kinachoendelea maishani mwenu.
Unajisikia hatia.
Unajisikia hukumu.
Sikia mpendwa wangu.
Mungu hawatumii wakamilifu bali anawakamilisha anaowatumia.
*“Kila tawi ndani yangu lisilozaa huliondoa; na kila tawi lizaalo hulisafisha, ili lizidi kuzaa.” (YN. 15:2 SUV).*
Shetani anakufosi kukutoa katika utumishi ili usimzalie Bwana matunda ili hatimaye kama tawi uondolewe kwenye mzabibu na kutupwa nje.
Anajua alimradi yapo matunda unamzalia Bwana basi Bwana ataendelea kukusafiaha na kukutakasa ili umzalie matunda zaidi.
Akusafishe na nini sasa kama wewe ni mkamilifu?
Anakusafisha na mapungufu maishani mwako.
Hakusafishi kwanza ndipo akutumie bali anakusafisha huku anakutumia.
Sasa shetani anakumezesha uongo kuwa utamtumikiaje Mungu hivyo na wewe unaumeza uongo wake unaacha na kujikata mwenyewe toka kwenye mzabibu na kujiondoa mwenyewe kwenye mchakato wa kusafishwa na kutakaswa ili uweze kuzaa zaidi.
Tunapoelekea Mwaka Mpya nasema hivi ewe uliye mbali na ushirika na watu wa Mungu rejea katika ushirika na wewe mtumishi ambaye umeamua kuweka silaha chini zinyanyue tena rudi shambani ili Mungu awe na sababu ya kukusafisha maana unamzalia matunda.
Ni kweli Mungu ni moto ulao na madhabahu Yake ina Moto Wake.
Sasa ukikaa mbali na hiyo madhabahu hivyo vitu vitaondolewa vipi maishani mwako na moto wa Mungu?
Weka maisha yako tena madhabahuni kwa Bwana ili moto Wake uunguze na kuteketeza kila kisicho Yeye maishani mwako.