Wednesday, March 8, 2017

HALELUYA

Shalom

*...Mkiisha kuwekwa  huru....*
       🌹lazima kuwa huru katika maisha yetu ili tuwe mbali na dhambi. 👇🏽👇🏽

*Lakini sasa mkiisha kuwekwa huru, na kuwa mbali na dhambi, na kufanywa watumwa wa Mungu, mnayo faida yenu, ndiyo kutakaswa, na mwisho wake ni uzima wa milele. Warumi 6 :22*

      🙆🏽‍♂kumbe dhambi na kutokuwa huru kunatunyima kupata ya kutakaswa, na tena tunakoswa uzima wa milele.

       🙇🏽pia hakuna uzima wa milele bila utakaso, hivyo Tafuta utakaso upate uzima usio na mwisho. 😀😀

_usililie baraka ila Lilia utakaso kwanza_

       ©Mwl Erick Machumu
      0752763020

No comments:

Post a Comment