Monday, March 13, 2017
FAIDA ZA KUMTEGEMEA MUNGU!,
Hakuna aliyemtegemea Mungu akapata hasara, ukimtegemea Mungu kuna faida, hebu angalia hizi faida za kumtegemea Mungu:-
(1)Bwana atakupa haja ya moyo wako->ZABURI 37:4.
(2)Kila ulitendalo litafanikiwa->ZABURI 1:3, MITHALI 3:5-6.
(3)Utakuwa na Amani->AYUBU 22:21.
(4)Mema yatakuijilia->AYUBU 22:21.
(5)Utabarikiwa->YEREMIA 17:7, ZABURI 112:3.
(6)Uzao wako utakuwa hodari->ZABURI 112:2.
(7)Utamwona Mungu ktk maisha yako->YOHANA 14:21, MITHALI 8:17.
(8)Mungu anaweka ulinzi juu ya maisha yako->ZABURI 34:7, MITHALI 3:21-26.
(9)Bwana atasikia kilio chako yaani maombi yako->ZABURI 34:15.
Kumtegemea Mungu ndio Maisha ya ushindi kwa mkristo,
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment