Kati ya maadui zako wa imani wanaoweza kukufanya ukose mema na kupoteza muujiza wako wa kwanza kabisa ni mashaka.
MASHAKA JUU YA KILE MUNGU ALICHOSEMA (AHADI)
Yakobo 1:
6 Lakini anapoomba, lazima aamini wala asiwe na shaka, kwa sababu mtu aliye na shaka ni kama wimbi la bahari, lililochukuliwa na upepo na kutupwa huku na huku. 7 Mtu kama huyo asidhani ya kuwa atapata kitu cho chote
No comments:
Post a Comment