Wednesday, January 25, 2017

Jih

Kati ya maadui zako wa imani wanaoweza kukufanya ukose mema na kupoteza muujiza wako wa kwanza kabisa ni mashaka. MASHAKA JUU YA KILE MUNGU ALICHOSEMA (AHADI) Yakobo 1: 6 Lakini anapoomba, lazima aamini wala asiwe na shaka, kwa sababu mtu aliye na shaka ni kama wimbi la bahari, lililochukuliwa na upepo na kutupwa huku na huku. 7 Mtu kama huyo asidhani ya kuwa atapata kitu cho chote

No comments:

Post a Comment