KIOO CHA NG'AMBO
Matendo 28:3
[3]Paulo alipokuwa amekusanya mzigo wa kuni, na kuuweka motoni, nyoka akatoka kwa ajili ya ule moto akamzonga-zonga mkononi.
Moto pekee ndio unaweza kutoa nyoka aliye katikati ya kuni
Naamini una mipango mizuri pamoja na maamuzi mema juu ya jambo fulani, lakini katika mipango na maamuzi hayo kuna nyoka(maumivu) ndani yake
Neno la Mungu(Moto) ndilo linaweza kupima uzuri wa maamuzi na mipango yako na kuondoa nyoka(maumivu) ndani yake
Mipango na maamuzi yako yasipite neno la Mungu(1wakor 4:6)
Ubarikiwe. ...
Na Tuvuke Mpaka Ng'ambo
No comments:
Post a Comment